RITA - KUHAKIKI VYETI VYA KUZALIWA NA VlFO KWA WAOMBAJI WA MIKOPO YA ELIMU YA JUU 2018/2019

RITA - UTARATIBU WA KUHAKIKI VYETI VYA KUZALIWA NA VlFO KWA WAOMBAJI WA MIKOPO YA  ELIMU YA JUU 2018/2019

Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) unapenda kuwafahamesha waombaji wa Mikapo ya Wanafunzi wa El1mu ya Juu kwa mwaka wa masomo 2018/2019 kuwa zoezi la Uhaklki wa Vyeti vya Kuzaliwa kwa waombaji, na vyeti vya vifo vya wazazi wa waombaji nchi nzima kama ambavyo tumekubaliana na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elrmu ya juu (HESLB) linaendelea kwa njia zifuatazo:
  1. Mwombaji kuwasilisha nakala ya cheti katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya alikopata cheti cha Kuzaliwa;
  2. Waombaji wanaoishi nje ya Wilaya walikopata Cheti cha Kuzaliwa pamoja na waliopo Mkoa wa Dar es Salaam waingie katika mtandao kwa anwani:- http://uhakiki.rita.go.tz/uhakiki, ,ili kupata maelezo ya jinsi ya kutuma nakala ya Cheti na Risiti ya malipo. Baada ya uhakiki cheti kilichohakikiwa kitatumwa kupitia anwani ya mwombaji katika mtandao.
Ada ya Uhakiki kwa kila cheti ni TShs. 3,000/= (elfu tatu) ilipwe kupitia Benki ya NMB kwenye akaunti ya Administrator Generar Colectlon Account Na. 20610009881 au Benki ya CRDB kwenye akaunti ya Administrator Colection Account Na. 0150339892600

Kila mwombaji awasilishe/atume kivuli cha cheti inayosorneka vizuri kwa ajili ya uhakiki ikiambatamshwa na nakala ya Risiti ya malipo. Vile vile, utaratibu uliotaja hapo juu utatumika kwa ajlli ya kuhakiki vyeti vya vifo vya wazazi.

Aidha. Tunapenda kuwasisitiza waombaji wote kufuata utaratibu ulioelekezwa hapo juu ili kuepuka usumbufu.

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0800117482
lmetolewa na:
Emmy Kalomba Hudson
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu • RITA

Tovuti ya Uhakiki wa Vyeti ya RITA

HESLB - GUIDELINES AND CRITERIA FOR ISSUANCE OF STUDENTS’ LOANS AND GRANTS FOR THE 2018/2019 ACADEMIC YEAR - HESLB YAANZA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO 2018/2019 SOMA MUONGOZO - New Updates

 

To Apply Online Undergraduate Students - List of University Institutions in Tanzania - New Updates